Maana na Asili ya Jina Majina ya watoto wa kiume kutoka kwenye biblia » MalakiMalakiMaana: Malaki ni jina la Kiebrania lenye maana ya ‘malaika wangu’; au ‘mjumbe wa Mungu’. Ni jina la nabii wa mwisho wa Agano la Kale.Asili: Kiebrania« Rudi kwenye orodha ya majina