Skip to content

Majina ya watoto

Maana na Asili ya Jina

Majina ya watoto wa kiume kutoka kwenye biblia » Hezekia

Hezekia

Maana: Hezekia ni jina la Kiebrania lenye maana ya ‘Mungu huimarisha’; au ‘Yahweh huimarisha’. Hezekia alikuwa mfalme mwema wa Yuda.
Asili: Kiebrania

« Rudi kwenye orodha ya majina

Copyright © 2026 Majina ya watoto Theme: Glowing Blog By Adore Themes.